Mkali wa RnB duniani Chris Brown amewataja wasanii waimbaji wakubwa watatu anaowakubali zaidi #DeadOrAlive katika mchezo wa Kikapu wa mastaa wa BIG 3
Chris aliulizwa kama atataka kuweka pamoja wasanii waimbaji watatu anaowakubali atamuweka nani,nani na nani ?
1-Michael Jackson

2-Prince

3-Elvis

.@ChrisBrown‘s @theBig3 Singers of All Time:— FS1 (@FS1) August 14, 2017

EmoticonEmoticon