Baba mzazi wa
Angelina Jolie ”Jon Voight’ ameongelea hali ya mtoto wake baada ya
taarifa kuwa anatengana na mume wake mwigizaji Brad Pitt.
Jon Voight amesema “Nauhakika anaendelea vizuri, sijaongea naye toka watangaza taarifa hizi“.
Angelina Jolie na
Brad Pitt wametangaza rasmi kutengana hivi karibuni na imekuwa taarifa
kubwa kwenye vyombo vya habari vya aina yote kutokana na umaarufu wao
kwenye filamu na mambo tofauti ya misaada duniani pamoja na kuwa kwenye
ndoa zaidi ya miaka 12.

EmoticonEmoticon